Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

1000163497.png
 
Nimechekaaa mlongoo, juzi kuna sehemu tumekaa sasa nikawa naongea na cm, si yakaanza kunitokaaa mineno.
Waja waliokaa hapo hoi, wanauliza hayo maneno unayatoa wapii? 😂😂😂
M1 kadakiaa, yaan huyu akiwa anakusema inabidi utulie ushike maneno anayokupa, nawee ukampe mwingine atakae kuchokoza.
Nilichekaa, 😂😂😂
😁😁😁😁,nacheka,,,nakusemea mineno ya coca hii🤣
 
Back
Top Bottom