Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1754455271266.jpg
 
Gundu ni Nini..
Gundu ni...
Unaamka asubh huku ukiwa na heng over ya jana uckušŸ˜‚šŸ˜‚

Unapasha maji kweny jiko la gec ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na yabard unajimwagia,,,unaungua unaanza kupiga kelele bafunišŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚

Unatoka nje kwa hasira huku ukiwa na maumivu
Ile unatoka nje ndege anapita ankunyea ,,unarusha jiwe ili ummpige unamkosa wakat huo baba mwenye nyumba ndio anafika anakutanalo la usošŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚

Unakimbia ndani haraka ili asikuone
Unajisahau kumbe ulifung mlango wa chumban kwako kwa speed uliokuwa nayo breki inafel unajipigiza mlangon unazimiašŸ˜‚šŸ˜‚

Baada ya muda unazinduka ,,

unaingia ndani unawasha feni haiwaki unataka kufanya utundu wako ili iwake unachanganya waya za hasi na chanya unapigwa shot unazimia tenašŸ˜‚šŸ˜‚

Unazinduka baada ya masaa kadhaa huku ukiwa una njaa ya kutosha,,

Unatoka nje mara unaona watu wanakimbia huku wakisema "mwizi" mwizi" mara unamuona uyo mwiz unaokota jiwe unampiga kwa hasira uyo mwizi anaanguka anazimiašŸŽ³

Mara watu wanashika kichwa,,kumbe ulio mpiga sio mwizi watu walikuwa wana shuti muvi::::tangazo haukulisikia kwan wakat wanatangza ulikuwa umezimašŸ˜‚

Waigizaj na raia wengine wanakuangushia kipondo(wanakupiga)

Unazima unajikuta upo hospital(raia wema walikusaidia)

Unaamka na wengee unakunywa drip kwakujua ni maji ya kandoro,,tumbo linaanza kuuma unpiga kelelešŸ˜‚

Wankuja manesi unapatiwa huduma ya kwanza then unalala baada ya dakika chache unaamka mgongo unakuuma unamuomba mgonjwa mwenzio mnabadilishan kitanda unajifunika shuka gubi gubi unalala,,

kumbe sehem alipo lala uyo jama alitakiwa akafanyiwe uparaeshen ya kichwa,,mwisho wa siku unapelkwa ww unaaenda kufanyiwa opareshi wakat hata hauumwi(unapelkewa ukiwa umelala na unachomwa sindano ya usingiz unalala vizur)

baada ya upasuaj madokta ndo wanshtuka kuwa wamemix watu,wanakushona wankurudisha odini

Unaamka unaona kichwa kizito unakipiga piga,,unapiga sehem ya mshono unapiga kelele maumivu makali unazimia tena kesho unaamka gundu limeisha😁😁
 
Back
Top Bottom