Ukichat na mke wa mtu tumia akili
Screenshot_20200815-121620.jpg
 
Sina mengi ,leo tutashinda tena magoli ya kutosha tu ,tunaenda kuisimamisha dunia ya mpira
Hakika Buyern Munich hawataamini tutakavyo wamiminia
Keep the spirit up ,tuna kikosi chenye experience na Buyern spaces zao kubwa kule nyuma lazima maji waite mmaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom