Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Pole sana Mtumishi. Kwa maelezo haya; si bure umebananishwa mahali. Banana tu ndugu yangu; tupo nawe hadi uuawe
Jamani! Ni mtu amedukua akaunti yako au ni wewe kabisa Ma Mchungaji ndo unaandika haya? Tangu lini umeacha kuwa kimbilio la watafutao faraja katika Bwana; na kugeuka kuwa mtibua upupu na mtonesha vidonda vya waliobananishwa huko huku ukiwaombea wazidi kubananishwa mpaka wauwawe? Kha!
 
download.jpeg
 
Back
Top Bottom