PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 12,575
- 9,151
Netanyahu mtu mbaya sana inabidi nimsome jamaa ili nimjue zaidi akili zake zikojeNi mwendo wa coordinates za GPS tu bomu linakufuata hata chumbani kwako ukiwa umelala. Dunia!
View attachment 3110099
Haki ya nani kuna k*ma zina hekaheka hapa duniani si mchezo wallahi. 😂🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Ukitaka kumjua zaidi pengine anzia kwa mdogo wake komandoo Yoni Natanyahu aliyeuawa Entebbe Uganda kwa kupigwa risasi ya mgongoni wakati akiongoza harakati za makondoo wa Israeli walipokuja kuwaokoa watu wao waliokuwa wametekwa katika ndege iliyolazimishwa kutua Uganda...Netanyahu mtu mbaya sana inabidi nimsome jamaa ili nimjue zaidi akili zake zikoje
Asee sio poa kabisa