moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 158,360
- 775,895
Tanzania ilifungwa na timu gani idadi kubwa ya magoli?Tanzania mbona haipo?
Tanzania ilifungwa na timu gani idadi kubwa ya magoli?Tanzania mbona haipo?
Na Algeria 🇩🇿 goli 7 kwa sifuri kama sijasahauTanzania ilifungwa na timu gani idadi kubwa ya magoli?
Huyu jamaa bwana dah???🤣🤣🤣
Ni kweli nimekumbuka hiyo.Na Algeria 🇩🇿 goli 7 kwa sifuri kama sijasahau