Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Changamoto za afya ya akili...Kisichana kidogo kimepatwa na nini kikafanya unyama kama huo?😳😳
Changamoto za afya ya akili...Kisichana kidogo kimepatwa na nini kikafanya unyama kama huo?😳😳
Sina upweke.Unanialika nije nikutoe upweke hapo kwa bed
Atakuwa wa kaskazini huyu
🙏🙏🙏Sina upweke.
Mengi ikiwemo simu ninayotumia
Kwenye sintofahamu hizi pia kuna waliobahatika kupata wenye bikira naye aweza kuwa mmoja wao huwezi juaSahih, ila nina swali Mzee wa upaka alio bikra?
Katoto kadogo kama haka jamani, kataishia kunyongwa daaaa!!Changamoto za afya ya akili...
Hahaha wazee wa Dar nawapenda buree, kaanzisha sokomoko ili ajipatie maokoto kiuraaini🤣🤣🤣