Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Kwani kaondoka mama E 🙈🙈🙈
Nshapigwa chini muda mrefu. Sema kumsahau sasa ndo shughuli 😁😁😁Kwani kaondoka mama E 🙈🙈🙈
Vijana tunapenda kitongaWanaotaka slope tu. Ila ni kujidhalilisha tu kutembea naye
Mapenzi hayaingiliwi
Naseem Hamed, amebadilika sana..Kwa wapenzi wa ndondi. Huyu kifutu cheupe unamtambua? Alikuwa bondia mmoja machachari sana enzi zake mpaka alipokutana na Mexican worrior mmoja wa kuitwa Marco Antonio Barrera akapigwa kweli kweli mpaka akaamua kuachana na Boxing. Yuko kwenye Boxing Hall of Fame!
View attachment 3039569
Mkuu nipeleke kwenye hospitali tukawajulie hali wagonjwa🤣🤣😎😎🚶♂️🚶♂️
Msukuma mwenzio wa Maganzo huyo.
Mwamba kavuliwa ubingwaView attachment 3039930
Role model wa mzabzab akitaka apewe 10M huyo akionesha range yake baada ya kupambana kuipata.![]()
Aisee kumbe kweli bwana vijana wanaendesha range huku wamevaa pampers....mie nijua jokes ...kuna sehwmu nafeli itabidi niongeze bidi au kwa kuwa mie sio handasome🤣🤣🤣🤣View attachment 3039930
Role model wa mzabzab akitaka apewe 10M huyo akionesha range yake baada ya kupambana kuipata.😀😃😄😁
🤣🤣🤣 Hapana bwana inategemea na wether ameshakudinya au lah. Akishakudinya mara tatu story yako kwishney 🤣🤣🤣🤣