Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 2,509
- 5,685
Tuwaone hao mashangazi
Ujenge unamjengea nani, hakujenga baba kipindi kariakoo kiwanja 150, nitajenga mimj sasa kiwanja kigamboni milioni 50.Kila kona mitego mtajenga kweli😁😁
Acha tu mkuuKila kona mitego mtajenga kweli😁😁
Hahaha mkuu ushauri wako ukiufata hutoboiUjenge unamjengea nani, hakujenga baba kipindi kariakoo kiwanja 150, nitajenga mimj sasa kiwanja kigamboni milioni 50.
Hakujenga baba kipindi mfuko wa cement sent 30, nitajenga mimi cement mfuko 18k.
Hakuna elfu 10 iliyoandikwa ya kununulia tofali, pesa yake matumizi, ponda mali kufa kwaja.
Ujenge uwe na nyumba umekuwa kobe wewe,
Kobe amiliki nyumba, nawe umiliki nyumba.
Utajengewe nyumba ya mileke ukifa.
Tumia pesa ikuzoee😂🤣🤣🤣
AaahaaaWape na location hii
View attachment 3023359
Ngono za hovyo hazina maana zaidi ya kupoteza nguvu zako , kujiweka kwenye hatari ya magonjwa ,kupoteza mda na hata fedha.Acha tu mkuu
Nitatoboa kweli?
Maneno ya kijiweni hayo ya kuchangamsha baraza 😂Hahaha mkuu ushauri wako ukiufata hutoboi