Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20240503-WA1211.jpg
 
From Facebook....

AINA ZA WANAWAKE AMBAO LAZIMA UTUMIE KONDOM

1) Kama dem ana tattoo tumia condom [emoji125][emoji125][emoji16][emoji16]

2.) kama dem ni mlevi anapenda sana bia .....tumia condom[emoji16][emoji16]

3. Kama dem akiwa na wewe ana zima sim .....tumia condom[emoji16][emoji16]

4. Kama dem yeye ndio wa kwanza kukuvua shirt. Mkiwa chumbani .... Tumia Condom![emoji16][emoji16]

5. Kama mwanamke anapenda. Kuunguza nywere tumia ... Condom![emoji16][emoji16]

6. Kama mwanamke hakuulizi kuhusu condom wakati wa sex ..... my brother condom![emoji16][emoji16]

7. Kama dem anavaa jinzi ya kubana .... Condom[emoji16][emoji16]

8. Dem ukitongoza leo na akakupa mzigo leo ....tumia . Condom![emoji16][emoji16]

9. Kama dem anaishi peke yake ..... condom please[emoji16][emoji16][emoji124]

10. Kama dem anafanya kazi in a hair salon, booth or bar..... condom[emoji16][emoji16][emoji124]

11. Kama dem ni student wa UDOM, MLIMAN na secondary ... Condom oooh[emoji16][emoji16]

12. Kama dem anapenda sana facebook ....tumia condom[emoji15][emoji16][emoji16][emoji125]

13. Kama dem kaweka pin kwenye pua na amevaa kikuku mguuni ... my brother tumia condom mbili [emoji124][emoji125][emoji125]

14. Kama dem anapenda kuongea na wanaume tumia condom[emoji16]

15. kama dem Jina lake ni Lucy, Maggie, ana ,Ruth, roze, pendo, selina, jack Naomi..….... tumia 8 condoms ba CEE [emoji3061]

16. Kama ukifanikiwa kujua ana kijiti....my brother condom ndio mkombozi wako[emoji16][emoji16]

17. Ukiona mwanamke ana dis kuhusu hii post brother ujue uyo ni wakutumia condom
 
Back
Top Bottom