Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kwa hiyo mnataka na sisi tuanze ku-moan? Kha!

Screenshot_20240604_160357_Instagram Lite.jpg
 
Nakumbuka tulivyokua olevel kuna siku mwalimu wa sayansi akauliza "manii ya mwanaume yana rangi gani" nikachaguliwa kujibu nikasema ina rangi nyeusi😂
Wenzangu walinicheka sanaa
Hahaha..........pole sana

Kwahiyo saivi ukiulizwa hivyo unaweza kuwa na majibu Kwamba yana rangi gani?

Kweli Babu nimekuza Mjukuu 🤗
 
Kuna mwenzio darasani fomu thrii mwalimu alisema eti manii kimsingi ni maji na sukari binti mmoja akaropoka eti "Mwalimu siyo kweli. Mbona sasa zina chumvi chumvi na siyo tamu kama zina sukari?"

Darasa zima pamoja na mwalimu wakabaki midomo wazi 😁😁😁
Hatari 😅

Ila Kuna watu wanaanza kula mema ya Nchi kitambo, imagine fomu thrii anajua hadi Ladha yake
 
Back
Top Bottom