1. Ukiwa unapata burudiko kwa kuyaangalia hayo madugude aka Zigo basi endelea kuburudika kwa kuyaangalia tuu na uishie hapo.
2. Ukiona karoho kanakwambia uone yaliyo ndani ya kitenge yanafananaje, na uyashike kwa viganja vyako nyama to nyama, ngozi kwa ngozi.... ukiona unashindwa kuidhibiti nafsi kuachana na kutaka kufunua ushuhudie mpangilio wa ndani wa hayo madugude, basi ukubaliane na utayoyakuta.
3. Waswahili walisema, ukipenda boga upende na ua lake.... hao wanaotoa harufu ya jasho au mikojo kutokana na kutonawa/kujisafisha/kujitawaza vizuri.... Madam umeridhia kuendelea hatua ya kufunua na kuona yaliyomo, basi kabla hamjaanza sebene, kimahaba kabisa mshike mkono, mpeleke bafuni au kwenye jakuzi ama hata kwenye jaba mloweke hapo na wewe utumbukie humohumo dakika 5 zinatosha maji tuu bila hata sabuni ila viganja vipite kwenye kila mkunjo kisha mkitoka hapo mkaushe kwenye mikunjo yotee pawe kavuuu..... halafu muanze sebene. Ukisikia harufu mbaya tena baada ya hayo, basi anaugonjwa mshauri akamuone mtaalamu wa afya.
NB: UKE ni kama sura, isipooshwa kila siku matongotongo, ute wa mdomoni wa usiku, nta za masikioni na makamasi puani yatafanya uso usitizamike... PIA, UKE haupuliziwi manukato shurti uwe na haiba yake ya asili, ile harufu ya UKE ile, wanaume wanaijua...
4. Sina hakika namna wanadada/waschana kwa wamama wenye midugude huwa na sura za baba... Well, mpaji Mungu na wahenga walisema, Mungu hakupi vyote.
Hapo sass mwanaume una kazi ya kuchagua, unataka sura nzuri au Zigo... kuke nafsi yako inakovutwa, dondokea huko.
Japo wako waliobahatika unakuta Sura Mwaah, Morphology mwaah, tabia mmwaaah ila sasa wanakutana na wanaume viazi....🙄🙄🚶♀️🚶♀️🚶♀️.
Al-Kumradhi, nimejisahau nilidhani niko MMU kumbe kwenye vitimbi....🤪.
Pen 🖊 down
Mic 🎤 down
😉.