Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nishastaafu ndugu yangu. Nimewaachia wajukuu akina Django doer hizi hekaheka!

Screenshot_20210620-224948_Instagram.jpg

Mkwakwani.jpg
 
1. Ukiwa unapata burudiko kwa kuyaangalia hayo madugude aka Zigo basi endelea kuburudika kwa kuyaangalia tuu na uishie hapo.

2. Ukiona karoho kanakwambia uone yaliyo ndani ya kitenge yanafananaje, na uyashike kwa viganja vyako nyama to nyama, ngozi kwa ngozi.... ukiona unashindwa kuidhibiti nafsi kuachana na kutaka kufunua ushuhudie mpangilio wa ndani wa hayo madugude, basi ukubaliane na utayoyakuta.

3. Waswahili walisema, ukipenda boga upende na ua lake.... hao wanaotoa harufu ya jasho au mikojo kutokana na kutonawa/kujisafisha/kujitawaza vizuri.... Madam umeridhia kuendelea hatua ya kufunua na kuona yaliyomo, basi kabla hamjaanza sebene, kimahaba kabisa mshike mkono, mpeleke bafuni au kwenye jakuzi ama hata kwenye jaba mloweke hapo na wewe utumbukie humohumo dakika 5 zinatosha maji tuu bila hata sabuni ila viganja vipite kwenye kila mkunjo kisha mkitoka hapo mkaushe kwenye mikunjo yotee pawe kavuuu..... halafu muanze sebene. Ukisikia harufu mbaya tena baada ya hayo, basi anaugonjwa mshauri akamuone mtaalamu wa afya.

NB: UKE ni kama sura, isipooshwa kila siku matongotongo, ute wa mdomoni wa usiku, nta za masikioni na makamasi puani yatafanya uso usitizamike... PIA, UKE haupuliziwi manukato shurti uwe na haiba yake ya asili, ile harufu ya UKE ile, wanaume wanaijua...

4. Sina hakika namna wanadada/waschana kwa wamama wenye midugude huwa na sura za baba... Well, mpaji Mungu na wahenga walisema, Mungu hakupi vyote.
Hapo sass mwanaume una kazi ya kuchagua, unataka sura nzuri au Zigo... kuke nafsi yako inakovutwa, dondokea huko.

Japo wako waliobahatika unakuta Sura Mwaah, Morphology mwaah, tabia mmwaaah ila sasa wanakutana na wanaume viazi....🙄🙄🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️.


Al-Kumradhi, nimejisahau nilidhani niko MMU kumbe kwenye vitimbi....🤪.

Pen 🖊 down
Mic 🎤 down
😉.
Shangazi umeamua uandike essay kabisa 😆 nakupa 22/25 😁.

Na umenikonyeza juu 😎
. Asante kwa maoni lkn 😘
 
Shangazi umeamua uandike essay kabisa 😆 nakupa 22/25 😁.

Na umenikonyeza juu 😎
. Asante kwa maoni lkn 😘

Mie ni bibi na wewe ni mjukuu, kwenye ushangazi nilishavuka.

Basi tuu nilijiluta tuu kalamu inaandika tuu kuja kustuka kurasa umejaa...

Al-kumradhi mjukuu, sikunuia kukukonyeza huwa naweka emoji sana kila niandikapo na sizilengi kwa yeyote bali ni sehemu tuu ya lugha ya uandishi.
 
Mjukuu nilishakupa offer. Ukitaka kuoa lazima unitafute nikupe mwongozo. Vinginevyo utakuja kupigwa na kitu kizito sana ndoa yako hata mwezi isimalize!
Kwa dunia ya sasa ni vigumu sana kuoa asee.

Mambo ninayoshuhudia mtaani kwenye mahusiano ya watu yanatia mashaka sana. 😓

Rafiki yangu anasoma muhimbili alitongozwa na mke wa mtu and mind you aliwahi date na mwanae anayemaliza F4 this year all because mme wake si mtu wa kushinda home yy anakaa hata week 3 haji nyumbani hili jambo linafikirisha sana 🤤😪

Ila namuomba Mungu nipate mke mwema kama wa Robert Heriel Mtibeli 😁
 
Sasa mnataka nini? Sura nzuri ila flat skrin....tandan( tako) sura ya baba.
Sura + flatscreen

Kusema ukweli ukimkojolea demu mwenye sura nzuri dopamine receptors zinakuwa stimulated sana yaani ni raha sana kuliko dem mwenye shep na sura mbaya speaking from experience.

Kuna kitu kitamu unahisi yaani i cant explain 😁
 
Back
Top Bottom