Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 9,276
- 24,822
Nilkua na stress lakini nimejikuta nacheka aisee 🤣
Nilkua na stress lakini nimejikuta nacheka aisee 🤣
Eateli kipindi kile ikiitwa CeltelMobitel Tritel ZainView attachment 2998418
Airtel iliitwa ZainEateli kipindi kile ikiitwa Celtel
Sawa sawa bro kwa kunikumbusha
Vizee vya hivi huwaga havifi kiboya. Akijichanganya huyo mdangaji anaweza akakata moto akakiacha! 😁
Uzuri ni kwamba kila mtu atazalishwa. Hata awe na shepu gani atazalishwa tu. Hilo la kuolewa kwa kweli sijui!
Huwa wanabadilisha badilisha majina wakiona kodi zimekuwa kubwa. Wanabadilisha ili kuanza upya....akili mtu wangu akiliii!