Vizee vya hivi huwaga havifi kiboya. Akijichanganya huyo mdangaji anaweza akakata moto akakiacha! 😁
Uzuri ni kwamba kila mtu atazalishwa. Hata awe na shepu gani atazalishwa tu. Hilo la kuolewa kwa kweli sijui!
Huwa wanabadilisha badilisha majina wakiona kodi zimekuwa kubwa. Wanabadilisha ili kuanza upya....akili mtu wangu akiliii!
Sababu ni zile zile mpendwa hazijawahi kubadilika!
Hahaaaaa masai na maandazi. Nimecheka sana.Wasukuma na ugali ni _____
Wanyaki na maparachichi ni ___
View attachment 2998292View attachment 2998293View attachment 2998294View attachment 2998295
Ni kweli mnapenda sana maandazi?Hahaaaaa masai na maandazi. Nimecheka sana.
Ni kweli mnapenda sana maandazi?
Dah! Kuna watu wanapitia mengi😣Uzuri ni kwamba kila mtu atazalishwa. Hata awe na shepu gani atazalishwa tu. Hilo la kuolewa kwa kweli sijui!
View attachment 2998729
View attachment 2998732
Mkuu! Andika hiyo mama E. Kwa kirefu
Dah! Imekuaje tenaView attachment 2998772
Ni kweli Wamasai tunapenda maandazi. Cheki kitambulisho cha dogo wa Kisukuma mwenzako hiko.