Huyu alikula kipochi manyoya kwa mkopo....
Mwenyekiti wa kamati ya roho mbaya
😂😂😂 Hiyo ndio Safi. Kunawatu wanaviburi vya kijinga sana. Najirani yangu pia huwa natafakari sn lakini roho ya utulivu huwa inanijua coz umachinoo wakijinga sn. Mtu unajengaje mpakani kbs
Kha Unaweza Dhani anatania kumbe...... Huyo jirani kiboko