Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

📌📌📌📌

FB_IMG_1709738899362.jpg
 
Kuna mda unasoma 'comment' unabaki kucheka tu mwenyewe.
Hili tukio la mwaka juzi, ambapo Dash 8 ya Rw@nda ilichochora nje ya barabara na sababu ya awali ilitajwa kuwa njia kulowa maji.
Akaja mtu kwenye 'comment' akasema "Hapana, imepeleka abiria kuchimba dawa"

[emoji991]
Aviation24.be
FB_IMG_1710316041278.jpg
 
Back
Top Bottom