Boss huwaga unafanya hivyo?Inapendeza Sana.
Baraka siyo lazima iwe kwenye uchumi.Mimi ni mmoja wao. Nitabarikiwa sana kiuchumi![]()




Malizeni tofauti zenu ili mengine yasonge mbeleMama E ananitesa sana jamani. Nimeshindwa kabisa kujinasua japo napambana sana. Nifanyeje jamani?
Aseeee, kwahiyo 2019 ulikuwa form 4.Nilionja k mara ya kwanza 11/6/2019 likizo hiyo ya form 4 .
Yaani naingia kwenye necta Sina Bikra tiyari namjua mwanamke alivyo



, Eeh five years ago . Mbona unashangaa?Aseeee, kwahiyo 2019 ulikuwa form 4.
Duuu,
Sawa sawa
Huyo wa kati aliendeleza mpaka jumba jeupemtu anatembea kama kanawa mikono kwa ajili ya kula
cc@shimba ya buyenze








