Huyo wa kati aliendeleza mpaka jumba jeupe 😂😂😂😂mtu anatembea kama kanawa mikono kwa ajili ya kula😂😂😂cc@shimba ya buyenzeAliyekuwa mbunge wa jimbo la Sumve, Marehemu Richard Mganga Ndassa wa kwanza kulia, akiwa na rafiki yake ......furani.......wakati huo akiwa bado na ushamba wake wa kisukuma.
Watu tunatoka mbali sanaView attachment 2918995
😂😂😂😂au lipa kwanza lile deni la ukoko wa juzi na jana😂😂😂😂🙌🙌
😂😂😂😂Hii nchi yetu n chanel ya katuni mbinguni.
HahahahaTengua hiyo kauli haraka sana. Hapo hakuna ushamba. Zilikuwa ndo pigo zetu wakati ule!









Natengua kauli.Tengua hiyo kauli haraka sana. Hapo hakuna ushamba. Zilikuwa ndo pigo zetu wakati ule!
........




akiwa amegonga suti kali kutoka kwenye duka moja maarufu sana jijini Dsm "Ak's Shop"