Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

ac0e82d398243de415737f5c5ccf4ab5.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba wa familia huyu
Msanii wa Muziki kutoka Tanzania, BABA LEVO, wakati Akiwa kwenye Interview na #WasafiFm amefunguka kuhusiana na kupigwa na Harmonize

Kwa maelezo yake alisema Kuwa,

" ilikuwa siku ya Jumamosi, Saa 8 usiku ambapo walikuwa kwenye Casino kubwa Tanzania, na Siku hiyo kulikuwa na Baadhi ya mastaa wakiwemo directors pamoja na wasanii wakubwa akiwemo Harmonize

" Kulikuwa na Tajiri Mmoja ambapo jmosi alishinda sana hela, baada ya Tajiri huyo kushinda akaniita na baadae akanipa Mil 10 Ambapo nichukue Mil 2 nyingine niwapelekee wenzangu Wagawane

" Sasa nilivyochukua Mil 10 ambapo nikachukua mil 2 na million 8 iliyobaki nikaweka Mezani, lakini nilivyogeuka Pembeni sikuona mil 5, nikauliza nani aliyechukua nikaambiwa Harmonize

" Kwaiyo Jambo hilo sikulipenda mana Tajiri alinipa ili niwagawie wenzangu ambapo Walikuwa 9 pamoja na Harmonize, kwaiyo baada ya kutetea ndo akanipiga " amesema Baba levo

View attachment 2902645

Sent using Jamii Forums mobile app
Casino kubwa Tanzania na tajiri.

Tajiri ni Mondi na Casino ni Las Vegas Upanga
 
Back
Top Bottom