Baba wa familia huyu

Msanii wa Muziki kutoka Tanzania, BABA LEVO, wakati Akiwa kwenye Interview na #WasafiFm amefunguka kuhusiana na kupigwa na Harmonize
Kwa maelezo yake alisema Kuwa,
" ilikuwa siku ya Jumamosi, Saa 8 usiku ambapo walikuwa kwenye Casino kubwa Tanzania, na Siku hiyo kulikuwa na Baadhi ya mastaa wakiwemo directors pamoja na wasanii wakubwa akiwemo Harmonize
" Kulikuwa na Tajiri Mmoja ambapo jmosi alishinda sana hela, baada ya Tajiri huyo kushinda akaniita na baadae akanipa Mil 10 Ambapo nichukue Mil 2 nyingine niwapelekee wenzangu Wagawane
" Sasa nilivyochukua Mil 10 ambapo nikachukua mil 2 na million 8 iliyobaki nikaweka Mezani, lakini nilivyogeuka Pembeni sikuona mil 5, nikauliza nani aliyechukua nikaambiwa Harmonize
" Kwaiyo Jambo hilo sikulipenda mana Tajiri alinipa ili niwagawie wenzangu ambapo Walikuwa 9 pamoja na Harmonize, kwaiyo baada ya kutetea ndo akanipiga " amesema Baba levo
View attachment 2902645
Sent using
Jamii Forums mobile app