Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,024
Kuna watu wataungua muda mfupi sana, kuni unajibebea za mabua dk 5 tu moto umeisha.
Kuna watu wataungua muda mfupi sana, kuni unajibebea za mabua dk 5 tu moto umeisha.
Dah Aiseeee. Mungu amsaidie sana huyu jamaa kama haya ni kweli kaandika Yeye.
We mkuu🧐🧐Kuna hawa pia ni zaidi ya kusisimkaView attachment 2893179
🤣We mkuu🧐🧐
Sijawahi kuumwa na Hao wadudu Ila story zake zinaogopesha, naogopa 😃
basi wewe ni wa mjini sanaaa😀😀Sijawahi kuumwa na Hao wadudu Ila story zake zinaogopesha, naogopa 😃
Aah wapi, semaa tu sipendi kucheza maeneo yenye vihatarishi kama hivyo😂basi wewe ni wa mjini sanaaa😀😀
Nasoma post hii huku nakula ugali
Watu wako na passion jamani....mtu anakaa anafikiria kitu kama hikiamazing math View attachment 2893185
sasa utasimulia nini wajukuu?Aah wapi, semaa tu sipendi kucheza maeneo yenye vihatarishi kama hivyo😂
umeonae!Watu wako na passion jamani....mtu anakaa anafikiria kitu kama hiki
Kama mimi ndio sitaki kabisa yaniumeonae!
yaani sisi hatupendi kuumiza kichwa kabisa yaani!

huyu baharia niDuuu!
hili mbona kama ni wazo bora la biashara