Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutoka mtoto wa mama mkwe hadi mwizi
Nipo mpendwa za siku? Mungu mwema mwaka tunaenda nao taratibuUpo? Mwaka mpya unaendeleaje?
💔💔💔💔🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutoka mtoto wa mama mkwe hadi mwizi
Umepotea mazima. Ni baridi la huko Njombe limekuelemea? Ni hekaheka za kazi au ni mtoto wa mama mkwe wako anakubana hupumui?Nipo mpendwa za siku? Mungu mwema mwaka tunaenda nao taratibu
[emoji16][emoji16][emoji16] maswali mengi nimeshindwa hata nianze lipi kujibu.Umepotea mazima. Ni baridi la huko Njombe limekuelemea? Ni hekaheka za kazi au ni mtoto wa mama mkwe wako anakubana hupumui?
Huku tupo salama. Stay blessed mpendwa [emoji1545]
tufanye edit kidogo!
Pole🙏🏿[emoji16][emoji16][emoji16] maswali mengi nimeshindwa hata nianze lipi kujibu.
Rahisi Sana.
😅😅😅😅If you see me with an umbrella on a sunny day, mind ya business[emoji23]View attachment 2886919
Sent using Jamii Forums mobile app