moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,135
- 770,219
Miaka ya nyuma huwezi kusikia mafuriko kwenye jiji hili.
Lakini siasa zinalizamisha jiji




Miaka ya nyuma huwezi kusikia mafuriko kwenye jiji hili.




Kazi ya jeshi kulinda mipaka ya nchi ingawa pia linatumika kwenye majanga
Ni wewe huyo nikikuamshaga. Nitaleta ubuyu wako muda si mrefu. 😀😃😄😁😆😅Huwa sipaki makeup, sema jingine.
Inatisha, yajayo hayafurahishi.
Ni masikitiko tu ndugu yangu. Kila kitu ni siasa. Maadam hao wakimbizi ni wanaCCM basi haina neno 🙏🏿Kuhusu hili nini maoni yako Kamanda ?