Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,916
Kama wamefuta Tupia tena na tenaWananifanyia mauzauza hawa watu lkn basi tu,
Kama wamefuta Tupia tena na tenaWananifanyia mauzauza hawa watu lkn basi tu,
Ukisikia Mbinga,Mbinga ni wilaya ambayo inaubeba huu mkoaNimeuliza tu miye.
Maana hata Namtumbo kwenyewe shida tu.



Ngoja nioneKama wamefuta Tupia tena na tena
Huendi mbinguni smart 😁
Hahahaha
Hiko kigauni kilichoelekea juu kizuri sana
Duh. Paka wamemsanua kinyeo!!!
Juzi naangalia muvi na madogo Scene inaelekeana nahio madogo wamekodoa mimacho hata hawaoni aibu yani mmoja form 6 mwingine form 4 kusema ubadili channel sio kwamba ni watoto wadogo eti hawajui nikabaki kuzuga nipo bize na simu 🤠
Maombi gani tena hayo
Ya kukutuliza wenge kipenzi changu.Maombi gani tena hayo
Ya kukutuliza wenge kipenzi changu.Maombi gani tena hayo