Kha! Yaani tupo 2024 bado mizimga ya nauli inaendelea...kwa kwwli wacha tuendelee na mpenzi revola tuu,sina nauli
Hao mbona hawakujiajili? Hapo Kuna coplo DE... Kuna officer Sa... kiujumla na wao waache kazi wajiajili kama ni rahisi
Jamaa anatesti mitambo
Bora ubakibsingle usave kibunda
Ila mshana huenda kweli ni mganga wa majini, uzi ni wa vituko mitandaoni ila 80% ya anavyo post vingi hua naviona kwenye horror movies. Sio vituko kabisa.
Naanza na wewe 2024.
















