Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

😁😁😁 Dogo kaamua kuandika wosia kabisa...

IMG_20231222_085131_699.jpg
 
The longest road in the world a person can walk is from Cape Town, South Africa to Magdan, Russia

There are bridges across rivers, no boat or air journey required. The road is over 22 000 km long and it would take 587 days to cover for a person walking 8 hours a day. The road also covers 17 countries, 6 time zones and the traveller will experience all the seasons and weathers of the world in his or her journey.

#blackhistory #knowthyself #BlackHistoryMatters #blackhistory365
FB_IMG_1703255958149.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata sikujua mjukuu. Ni kweli leo kumbe nimetimiza miaka 9 ndani ya JF hii ya Melo. Ni mengi nimejifunza humu na kusema kweli JF hii imenibadilisha sana. Zaidi ya yote nimeweza kupata connections kadhaa za muhimu pamoja na kujenga urafiki wa kweli na hata undugu kama wewe hapo mjukuu. Asante sana kwa wema wako jamani japo hatujuani. U binti mdogo lakini maisha unayajua na sina wasiwasi kwamba utafika mbali sana. Ubarikiwe sana mjukuu na nakuombea kila la heri katika maisha yako. Amen
Amen babu
 
Back
Top Bottom