Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1703097220443.jpg
 
Kwa mujibu wa @sportsarena_tz Medeama wakiwa ugenini ni maharage ya Mbeya. Yani moto kidogo yashalainika. Tangu 2016 hawajawahi kushinda mechi yoyote ugenini. Pigia mstari tangu 2016. Yani miaka 7 watu wanajipigia tu . Hawa hata ukiwapa Namungo wanapiga kama ngoma, ili mradi mechi ichezwe ugenini. Medeama ni "chips funga" wa klabu bingwa. Kila boya anapiga
FB_IMG_1703100836597.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom