Kwa mujibu wa @sportsarena_tz Medeama wakiwa ugenini ni maharage ya Mbeya. Yani moto kidogo yashalainika. Tangu 2016 hawajawahi kushinda mechi yoyote ugenini. Pigia mstari tangu 2016. Yani miaka 7 watu wanajipigia tu . Hawa hata ukiwapa Namungo wanapiga kama ngoma, ili mradi mechi ichezwe ugenini. Medeama ni "chips funga" wa klabu bingwa. Kila boya anapiga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.