Vituko mikoani

picha namba 1 na 2 kiboko, tudese. mshana jr baba.
 
hivi kwanini haijawahi kusikika mtu kung'atwa na nyoka porini akiwa anachimba dawa??nahisi nyoka akiona kalio linashuka chini kwenye majani anaona kama anapigwa rungu la kipepe anatoka nduki mwenyewe
 
 
Mwembe basha,mto ngono,bonde matako hayo maeneo nahisi sio tanzania labda japan kwa kina kumamoto au takosafi huko japani
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…