Vituko mikoani

Ile ya vichakani inaitwa "green lodge" Kwa raha zako unajilia uroda. Umenikumbusha "NANATUNGRU na HAMUYEBE" Ukerewe!
 
Punga ndio nini ? Ni mtu anaependa kupunga upepo ?
 
Bukoba lango la HIV Tanzania... Kuna mto unaitwa katerero.... Gesti za kule magodoro yana nylon ngumu kwa sababu ya huo mchezo... Huku ni lazima kuongea kiingereza kama alama ya usomi
Mto katerero labda nyumban kwako
 
Kule Songea kwa akina bambo madem wakitongozwa mnaenda hadi maporini na utamsikia dada akisema''nigwisae lelo'' akimaanisha ''niangushe basi'' na kule Ntwara utasikia ba somo kunyima ntu mi naona aibu ,siwezi nnyima ntu kitu cha bure baaa bwana somo
 
Kule Songea kwa avina bambo mandem wakitongozwa mnaenda hadi maporini na utamsikia dada akisema''nigwisae lelo'' akimaanisha ''niangushe basi'' na kule Ntwara utasikia ba somo kunyima ntu mi naona aibu ,siwezi nnyima ntu kitu cha bure baaa bwana somo
 
kuna gest moja geitagold,sina kumbukumbu vizuri nikiwa mgeni nimeenda field, pamoja na kugida konyagi sikulala! fisi zinapita na wenye nazo dirishani na kuzunguka zunguka! kuna wakati mtu unamwomba mungu hata akuchukue kwa muda tu hadi kukuche! aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…