chaUkucha
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,382
- 1,208
Watu wanaogopa sana kufa kwasababu ya dhambi walizonazo matokeo yake wanatafuta sababu kurefusha maisha lakini bado kifo kipo palepale!Hii nayo ni chai
Maisha ya Kila mtu yapo programmed
Huwezi kurefusha labda ufupishe