Mtoto wa miaka 6 kuwa na kilo 70 & wa Miaka 4 kuwa na Kilo 50. Hii haiwezi kuingia kwenye Guiness Record?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,116
49,840
Aisee huenda Tanzania ikaingia kwenye rekodi ya Dunia ya aina yake Kwa kuwa na Watoto wenye uzito uliokithiri kuliko umri wao.

Huko Dodoma Kuna Watoto 2 wa familia Moja ambapo mwenye miaka 6 ana uzito wa kilo 70 na mdogo wake mwenye miaka 4 ana uzito wa kilo 50.

Ukibonge wa hivi sijawahi usikia popote Duniani Kwa Watoto wadogo kama hao kuwa na umri wa watu wazima.

My Take
Serikali Kupitia Wizara ya Afya fanyeni Uchungu wa vinasaba kubaini nini kinasababisha Hali hii.Mtoto kula kilo 5 sio jambo la kawaida.

Pili Prof.Janabi Huwa anaonya kwamba unene unakawaida ya kubadili vinasaba hivyo sio jambo la kufurahia unapozaa Watoto wenye uzito zaidi ya kilo 2.

View: https://www.instagram.com/p/C2FqXltAVOZ/?igsh=Nm5qZnVycTBiZW16
 
Ana miaka 10 Ana kg 180
images (49).jpeg
 
Wenzako wanaomba msaada wewe unasema world guiness book .
Mara unawapa hongera mara unawahurumia.
Alafu ujue duniani kuna dogo ana pound 75 akiwa na 2 years. Embu uwe una google sometimes. Yupo tayari huko world guiness na wana website yao. Kwahyo hizo kilo zao, ndogo saaaaaaaaaaana.
 
Kwan ilikuwaje mpka wakawa wanawapikia izo kilo 5?,hawawez kuwapunguzia msosi na wafanye dyt?
 
Aisee huenda Tanzania ikaingia kwenye rekodi ya Dunia ya aina yake Kwa kuwa na Watoto wenye uzito uliokithiri kuliko umri wao.

Huko Dodoma Kuna Watoto 2 wa familia Moja ambapo mwenye miaka 6 ana uzito wa kilo 70 na mdogo wake mwenye miaka 4 ana uzito wa kilo 50.

Ukibinge wa hivi sijawahi usikia popote Duniani Kwa Watoto wadogo kama hao kuwa na umri wa watu wazima.

My Take
Serikali Kupitia Wizara ya Afya fanyeni Uchungu wa vinasaba kubaini nini kinasababisha Hali hii.Mtoto kula kilo 5 sio jambo la kawaida.

Pili Prof.Janabi Huwa anaonya kwamba unene unakawaida ya kubadili vinasaba hivyo sio jambo la kufurahia unapozaa Watoto wenye uzito zaidi ya kilo 2.
Mbona umepost jukwaa la siasa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
maxresdefault (1).jpg

Hawa Watoto huko Rwanda wamenenepa hadi kufa kwa Organ Failures ni Ugonjwa wa Kijenetiki

Prader-Willi syndrome
 
Back
Top Bottom