Mwanamke akiwa kwenye peak yake (miaka 17-25) huwa ana-prefer kuwa na badboy, kwa sababu badboy ndie mwenye character ya kuweza ku-twist ile chaotic nature ya mwanamke.
Mwanamke uyo uyo akiingia kwenye declining stage(miaka 28+) anataka rescuer man, a man to save her from her messy.
Hakuna kipindi cha maisha ambacho mwanamke anatafuta mapenzi ya dhati, sasa wewe kama mwanaume nini ufanye?
If you are broke don't pressure yourself to build a commited relationship, remember basic things like dates, hangout, gifts require money. Insteady put a focus on building your value.
Utakapojipata(wanaume wengi wanafika hatua hii wakiwa 30's) watumie wanawake kama chombo cha starehe tu, usimsomeshe mwanamke, uaimfungulie biashara, usimpangishie au kumjengea nyumba, kwa kifupi usibebe majukumu ya baba ake
mpaka utakapoona sasa ni wakati wa kutulia na kuanzisha familia then go for a virginity, feminine and young woman(19-22). Infact hata huyu anaweza kufuata security but atleast she is worthy your sacrifices.