Waliingiaje? Hatuna TISS? Hatuna uhamiaji? Hatuna polisi? Hatuna JW? Waliingiaje?Huna akili, hawawezi kusema lolote sababu ni aibu ya nchi yao lakini ukweli ni kwamba walikuwepo wengi tu
Machawa bado yapo. Hata hapa JF bado yapo kibao; na yanadunda tu bila aibu2. Machawa na uchawa
Sawa kunguniMachawa bado yapo. Hata hapa JF bado yapo kibao:
Lukas mwashambwa
Dr wa Manesi
Stuxnet
gallow bird
Lucha
Uchawa hauwezi kufa kirahisi maana ni ajira. People have to go to the toilet....
Kweli leo wakati nasikiliza DW saa saba mchana ilipofika habari ya Tanzania kuhusu mauaji na tamko la UN kuhusu mauaji yaliyofanyika ghafla wakaondoa ikaanza kupigwa taarabu..Aisee Media za Kibongo zinatia Hasira sanaa. Sema anyway let's keep it for the other day.
6*Bendera za CCMGT
Baadhi ya mambo yaliyokufa
1. Vyombo vya habari Tanzania
2. Machawa na uchawa
3. Watu wasiojulikana.
4. Simba na yanga
5. Jina la Lake oil (Loading)
Ukitakaje? Waseme, "safiiiiii tuendelee kuiba na kupora Mali za watu!", au sio?Aisee Media za Kibongo zinatia Hasira sanaa. Sema anyway let's keep it for the other day.
Ulaaniwe wewe na ukoo wako?Hakuna MKENYA yeyoteHuna akili, hawawezi kusema lolote sababu ni aibu ya nchi yao lakini ukweli ni kwamba walikuwepo wengi tu
Ndo shida yenu nyumbu, mnafikiri Kila mtu ni poyoyo kama nyie!!Machawa bado yapo. Hata hapa JF bado yapo kibao; na yanadunda tu bila aibu
Lucas Mwashambwa
Dr wa Manesi
Stuxnet
gallow bird
Lucha
Stroke
pacome
Shammy-
➡️➡️➡️ Uchawa hauwezi kufa kirahisi maana ni ajira. People have to go to the toilet....
Hivi mtibeli yupo simsikii....simuoni, Robert Heriel Mtibeli
Kwani tulishaachana? si kesi ziliisha? Mbona unaenda mbele unarudi nyuma kama kichwa cha treni 😂😂Mungu ni mwema. Unanimiss alafu uliomba talaka mwenyewe
hapo kwenye namba mbili angalau kidogo machawa wamepunguaGT
Baadhi ya mambo yaliyokufa
1. Vyombo vya habari Tanzania
2. Machawa na uchawa
3. Watu wasiojulikana.
4. Simba na yanga
5. Jina la Lake oil (Loading)
na mimi nshawaonaHumu jf kuna watu watano wanalipwa kuja kucoment negatives