PostGE2025 Vitu viliyokufa baada ya MO29

PostGE2025 Vitu viliyokufa baada ya MO29

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Huna akili, hawawezi kusema lolote sababu ni aibu ya nchi yao lakini ukweli ni kwamba walikuwepo wengi tu
Sijui ni kwanini ukishakuwa kunguni ni LAZIMA akili iwe tope.

Sawa mkuu daktari manesi, umeeleweka.
 
Mama maaama maaana
Vyombo vya habari vilishakufa hata kabla ya hapo, hivyo vingine vimezimia kwa muda tu vikimwagiwa maji kidogo tu vitaamka kama moto wa petrol wait and see!! Unless hiyo Desemba 9 inayosemwa semwa litokee jambo kwelikweli

NB: Kuna mtu ameniuliza "mbona siku hizi zile pikipiki hatuzioni? Nikamuuliza, zipi? akcheka, badala ya kunijibu akauliza tena, "zamani baada ya uchaguzi hata ule alioshinda Lowasa, kesho yake mtaani tulizoea kuona watu wamevaa tirshit za NEC zimeandikwa "uchaguzi mkuu...", kofia, vibegi begi....kwani mwaka huu hawajapewa??? Mpaka sasa nimetabasamu tu sijui jibu la kumpa, nisaidieni
 
GT
Baadhi ya mambo yaliyokufa

1. Vyombo vya habari Tanzania

2. Machawa na uchawa

3. Watu wasiojulikana.

4. Simba na yanga

5. Jina la Lake oil (Loading)
Sio kufa vimekuwa exposed, now everbody know ni taasis chawa waandamiz

Even more number ya hivyo vyombo itaporomoka vibaya mno
 
GT
Baadhi ya mambo yaliyokufa

1. Vyombo vya habari Tanzania

2. Machawa na uchawa

3. Watu wasiojulikana.

4. Simba na yanga

5. Jina la Lake oil (Loading)
Kama Rostam azizi bado anapumua basi kazi bado sana
 
Sio kwamba gari la polisi litakalo kamatwa afu gwe na aburuzwe kwenye barabara ya mwendo kasi?
Watamuwahi kumuokoa wenzake!! Huyo abanikwe mshikaki on the spot...ndani ya dakika 5 awe ashaiva.
 
Ogopa nchi ambayo vyombo vyake vya habari asubuhi nitaarifa za michezo mchana umbea na mapishi usiku mapenzi
 
Back
Top Bottom