"Mwalimu hakutaka Ile barabara iitwe 'Nyerere Road'"Kweli
Nyerere primary and secondary!
Mi nazani tatizo ni katiba mpya ....ili iwape watu zaidi kupendekeza jina mfano, daraja la nyerere kurasini lingetosha kuitwa KIGAMBONI BRIDGE,
AU TAZARA Flyover na siyo mfugale, uwanja wa taifa ungebaki kuwa national stadium na siyo mkapa ambaye hata hakuwahi kucheza mpira!