asahd
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 340
- 461
Mimi picha labda unipige nikiwa sijijui, ila nikijua unani piga picha tutagombana.Na ivi Sina Hela Hunipigi Picha yoyote ile Labda Nikizifumania Uko Mbele Nitabadilika
Mimi picha labda unipige nikiwa sijijui, ila nikijua unani piga picha tutagombana.Na ivi Sina Hela Hunipigi Picha yoyote ile Labda Nikizifumania Uko Mbele Nitabadilika
Pole sana!Kama hujawahi kupiga nyeto basi umezaliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume marijali wote lazma wapitie kwenye nyeto hata Kama wataacha baadae
Ahaahaha,dah nikajua nipo peke yanguUpande wangu
Mimi huwa nawashangaa sana Wanaume wenzangu wanaosema huwa wanapiga mechi bao 4,5 Hadi bao 7.
Huwa Nabaki najiuliza,
Hivi Hao wanawake wa kuwapiga hizo bao zote, wenzangu huwa wanawatoaga wapi?
Inamaana Mimi ndo nna bahat mbaya sana maishani huwa sikutani nao au?
Honestly,
Sijawahi kuzidi bao 3,
Na Kupiga bao 3 straight kwangu inaweza tokea kwa mwaka Mara 2 au Mara 3 TU.
Na hizo bao 3
huwa napiga kwa wanawake wachache Sana, hasa hasa wale wa kununua.
Majibu yako we jamaa...daaSo washibika rede🤣🤣🤣🤣
Mimi picha labda unipige nikiwa sijijui, ila nikijua unani piga picha tutagombana.
Picha labda nipige kwa kuamua mm ila ukinilazimisha lazima tugombane. Kuna mavideo call sijui mtu anakurupuka huko anapiga video call et ananisalimia huwa sipokei.Wewe ni mimi kabisa sipendi picha hata kidogo. Sipendi mikusanyiko ya watu na Sina marafiki.
Mi video call ndo sitaki hata kusikiaPicha labda nipige kwa kuamua mm ila ukinilazimisha lazima tugombane. Kuna mavideo call sijui mtu anakurupuka huko anapiga video call et ananisalimia huwa sipokei.
Nishapishana sana na watu kisa haya makitu alafu wengi si waelewa wanalazimishaa nakereka basi tu.Mi video call ndo sitaki hata kusikia
Hata mimi sijawahi kuona maana halisi ya hii kitu.Kujifanyia au kumfanyia mwanangu "Birthday" huu ushubwada siji kuufanya mpaka wananifukia kaburini..... Siku zako za kuishi zinapungua halafu jitu linakusanya watu waje washangilie pamoja nae na linapewa kisu kukata cake kusherehekea siku zake kupungua.... mbaya zaidi hizi sherehe zinafanywa zaidi na wanaojiita wameenda shule na nina uhakika wa 100% wanaofanya huu upuuzi ile furaha anayojifanya anayo pale haitoki moyo na ninaamini hakuna kabisa zile hisia za KUZALIWA ila ni tukio flani tu mtu kaiga ili eti na yeye YA DUNIA yasimpite,yan anataka aonekane na yeye anazunguka sambamba na Dunia😂
Sometimes unalikuta lishkaji kabisa na midevu yake, linatokea kwenye group la whtspp linasema "WAKUU LEO MNI WISH"...pumbaavu kbs😏
Jamani Ule ni upuuzi wenye tani nyingi sana ni vile hatujui tu.
Wewe ni mimi kabisaKucheza Muziki mbele za watu siwezi aisee
Kukesha Bar usiku mzima..mimi kwangu mwisho saa 3 narudi home.
Sijawahi kuhudhuria kwenye Masherehe zaidi labda Makomgamano ya kidini. Sherehe huwa nawakilshwa tu na Wife.
Kunywa kilevi na kuvuta sigara nilijaribu ila zilinikataa (Natapika)
Sipendi kabisa zile shobo za kutaka kujuana sana na kuanza kufatana fatana..ila napenda kusalimu kwa unafiki ili mtu uridhike na kukuchora Maongezi yako kujua wewe ni wa namna gani.
Baada ya miangaiko ya Town napenda ku chill peke yangu kutazama Sun set..maeneo ya utulivu mbali na nyumbani.