Vitoto vya kibongo kumbe vitamu

Tunahitaji jukwaa la vichaa!
Sasa kuwa kwako nje ya nchi, kuwa msomali, kufanya dt dobie, na utamu wa mabinti wa kiswahili vyoote kunahusianaje na fb account yako? Ama unaomba jamvi? Kuwa muwazi kabla sijaenda kukusaka fb basi
 
Nia na madhumuni ukamrequest friendship

Tunahitaji jukwaa la vichaa!
Sasa kuwa kwako nje ya nchi, kuwa msomali, kufanya dt dobie, na utamu wa mabinti wa kiswahili vyoote kunahusianaje na fb account yako? Ama unaomba jamvi? Kuwa muwazi kabla sijaenda kukusaka fb basi
 
na sisi tunahamu ya kuwala wasomali pure sii wale wa temeke au mtoni kwa azizi alli utatusaidiaje ku connect na hao girls wa kisomali?maana mkimuona tuu na mswahili eti mnamtenga how comes wakati nyie mna faidi dada zetu tena kwa mitandao yote?
Bongo lala, Wanawake wa Kisomali hakuna kitu!.

Miaka ya 98 kuna jahazi lilikuja na wakimbizi zaidi ya 400 wa Kisomali wengi wakiwa ni wanawake na watoto. Wakafikia Ilala Sharrif Shamba. Mchana walivaa nijab, usiku waliingia viwanja na vimini balaa na jinsi walivyo umbika round faces, soft round baby faces na zile shapes!. Usipime, within no time walitawala soko lote la ile biashara kuanzia bills, califonia, jolly, Mambo, bistro etc.

Hata hivyo utawala wao was short lived, mteja akishapita kesho yake harudi!. Wateja hao hao huwarudia wale wale dada zetu wa kibantu na ndio walio toa ishuhuda kuwa hao mabinti wa Kisomali, ni wazuri tuu kwa kutazama tuu!.

Utafiti unaonyesha makabila ya Africa yenye wanawake wanaaongoza kwa uzuri, wakiwemo Wahabeshi, Waajemi, Waarabu etc, wote ni damu baridi kama wahindi na wazungu!.

Kwa Tanzania wanawake wanao ongoza kwa uzuri wa kutazamika ni Wahangaza wako kamili kila idara, nywele ndefu, long baby faces soft skins!. Lovely sexy bodies with waist lines, good bust na leggy lines!, ila sina taarifa zao kuhusu performance!.

Kama unachopenda ni kumiliki good stuff then its ok you just choose your love and love your choice!. The rest is just the atitude of mind wengine kile kipande cha juu cha mua ndio asali yake kama lilivyo ganda la mua la jana, chungu aona kivuno!.
 
Mie Mtanzania by naturalization + birth. Gal wangu aliyenifundisha ku-do ni msomali. Japo hatukuendelea baada ya kumaliza A-level dah inaniuma sijui karudi Somalia?
I wish nimpate bado hajaolewa!
I remember her mpaka chembe ya moyo inauma as if inachanwa.

yuko kwenye al shabab camps anawapikia msosi huku nao wakimmega...lol
 
Utafiti unaonyesha makabila ya Africa yenye wanawake wanaaongoza kwa uzuri, wakiwemo Wahabeshi, Waajemi, Waarabu etc, wote ni damu baridi kama wahindi na wazungu!.

Kwa Tanzania wanawake wanao ongoza kwa uzuri wa kutazamika ni Wahangaza wako kamili kila idara, nywele ndefu, long baby faces soft skins!. Lovely sexy bodies with waist lines, good bust na leggy lines!, ila sina taarifa zao kuhusu performance!.

Duh ama kweli elimu haina mwisho...!!!! Although nadhani tunahitaji data zaidi kwenye hii issue alafu huoni kwamba msemo wa (beauty is in the eyes of a beer holder) unakinzana kidogo na maneno yako, sababu kama mimi napenda wasichana warefu weupe wembaba I can argue kwamba Rwanda ndio kwenyewe ila wanaopenda wafupi wanene na waliojazia mahali fulani wanaweza wakakwambia vinginevyo ?
 
Bongo lala, Wanawake wa Kisomali hakuna kitu!.


Kwa Tanzania wanawake wanao ongoza kwa uzuri wa kutazamika ni Wahangaza wako kamili kila idara, nywele ndefu, long baby faces soft skins!. Lovely sexy bodies with waist lines, good bust na leggy lines!, ila sina taarifa zao kuhusu performance!.

!.
true na wanaongoza kwa mengi aisee.... hata shida ya maji huwezi kupata
 
uansema umepata dem wa ukweli halafu unaweka fb account yako ili iweje uongeze wengine au?hana jipya huyu ndo wale wazungu wanawaita "hit and run"
 
....msomali wa ilala labda...mana umejimegea utumbo mtupu hapa!...sasa umepost hii ili iweje yani?

MMU siku hizi imevamiwa, sidhani kama hilo ndilo lengo la kuanzishwa kwa hili jukwaa.....haya matumizi mabaya ya 'uhuru wa kuongea' sasa yanapelekea uropokaji usio na mantiki!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom