Juan San Roman
Member
- Mar 13, 2012
- 52
- 12
Jamani mm ni msomali by nature, nilikua nje ya nchi kwa masomo so nimerudi kama about three months ago, napiga kazi kwenye kampuni mmoja ya simu hapa Dar (Tigo), well nilikua sijawahi kuwa na romantic relationship na msichana wa kiswahili, nilivoonjeshwa mara ya kwanza 2 na binti mmoja hapa kazini, nilipigawa ile kinoma,zamani nilikua na dhana ya kuwa mabinti wengi wa kibongo hawathamini mapenzi bali pochi, ila kwa sasa nimejua wako poa sana...am enjoying my self now....my face book account is Kaluun Maysar!!!!!!!!!!!!!!!!!:yell::yell: