MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
Kuna malalamiko mengi kuwa watoto wanatendewa vitendo visivyo vizuri ndani ya school buses .
Nasikia kuna kesi tele zinalipotiwa na huwa zinamalizwa juu kwa juu, juu ya ukatili wanaofanyiwa watoto wadogo ndani ya hizi school buses.
Je hii ni kweli wanajamii?
Nilichofikiri haraka ni kwamba hizi school buses
Zinaendeshwa na madereva vijana wa mitaani
Kondactors wao ni wavulana ambao wengi ni mateja wa mitaani
KAMA HIZI TETESI NI KWELI
Ni bora kila shool bus condactor wake akawa mwanamke ili kunusuru maisha ya hawa watoto!
Wazazi mhakikishe mazijua bus na mnawajua watu wanao beba watoto wenu alfajiri saa 11 na kuwarudisha jioni saa 12 hata saa moja
Nasikia kuna kesi tele zinalipotiwa na huwa zinamalizwa juu kwa juu, juu ya ukatili wanaofanyiwa watoto wadogo ndani ya hizi school buses.
Je hii ni kweli wanajamii?
Nilichofikiri haraka ni kwamba hizi school buses
Zinaendeshwa na madereva vijana wa mitaani
Kondactors wao ni wavulana ambao wengi ni mateja wa mitaani
KAMA HIZI TETESI NI KWELI
Ni bora kila shool bus condactor wake akawa mwanamke ili kunusuru maisha ya hawa watoto!
Wazazi mhakikishe mazijua bus na mnawajua watu wanao beba watoto wenu alfajiri saa 11 na kuwarudisha jioni saa 12 hata saa moja