Cha ajabu nn sasa....kwani hujui kama population kubwa ya wafanyabiashara+machinga ipo dar??Hali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.
Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052
Never compare numbers...compare proportionsCha ajabu nn sasa....kwani hujui kama population kubwa ya wafanyabiashara+machinga ipo dar??
Pamoja na dr BashiruHabari hii ni mbaya kwa KKKT,wauza ngada na chodomo ikiongozwa na Mbowe
Kitakwimu, baada ya Dar es Salaam inatakiwa ifuatie Mwanza na Arusha; kuna shida somewhereHali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.
Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052
Hivi unafahamu hizi pesa za vitambulisho zinaenda wapi??Hali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.
Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052
KheeeeHabari hii ni mbaya kwa KKKT,wauza ngada na chodomo ikiongozwa na Mbowe
Proportions bado zinaipa Dar nafasi ya kwanzaNever compare numbers...compare proportions
za ndani kabisa zinanyetisha kuwa robo tatu ya vitambulisho vya Dar vimelipiwa binafsi na Bashite mwenyewe.Hali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.
Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052
Sasa ni wakati mzuri wankumuhamisha makondankwenda mikoa mingine akapeleke uzoefu wake kusaidia mikoa iliyo nyumaHabari hii ni mbaya kwa KKKT,wauza ngada na chodomo ikiongozwa na Mbowe
Kwa hiyo ahadi ya Dar kutokuwa na mafuriko mwaka jana inafukiwa na vitambulisho baada ya miundombinu iliyoboreshwa kufeli au?Cha ajabu nn sasa....kwani hujui kama population kubwa ya wafanyabiashara+machinga ipo dar??
Sasa ni wakati mzuri wankumuhamisha makondankwenda mikoa mingine akapeleke uzoefu wake kusaidia mikoa iliyo nyuma
Vipi uchafu wa Dar nao vipi anaongoza na kupongezwa?Cha ajabu nn sasa....kwani hujui kama population kubwa ya wafanyabiashara+machinga ipo dar??