Vitambulisho vya wamachinga vyaingiza Bilioni 20. Dar yaongoza, RC Makonda apongezwa

Elitwege

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
5,154
10,809
Hali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.

Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.
IMG-20190515-WA0004.jpeg
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.

Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052
Cha ajabu nn sasa....kwani hujui kama population kubwa ya wafanyabiashara+machinga ipo dar??
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.

Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052
Kitakwimu, baada ya Dar es Salaam inatakiwa ifuatie Mwanza na Arusha; kuna shida somewhere
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.

Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052
Hivi unafahamu hizi pesa za vitambulisho zinaenda wapi??
Endelea kupongeza tu kama hayawani vile..
Idiot.
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.

Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052
za ndani kabisa zinanyetisha kuwa robo tatu ya vitambulisho vya Dar vimelipiwa binafsi na Bashite mwenyewe.

huu si ubuyu, ni ukweli!
 
Kwani zoezi lile lililenga kuwashindanisha Wakuu wa mikoa?? Unachosifia ni nn?? Hakuna anaemchukia anamchukia DAB bali watu wanachukia matendo yake maovu/machafu. Kwanza alishalipa kodi aliyokuwa akidaiwa na TRA??
 
NI KOSA KUIFANANISHA DAR NA MIKOA MINGINE KWA UWINGI WA AINA YA BIASHARA NA FURSA ZILIZOKO HUKU HADI WAUZA MADAFU WAMEPEWA VITAMBULISHO HATA HIVYO KWA JINSI DAR ILIVYO NA FURSA NA BIASHARA BADO TUMEFANYA KIWANGO CHA KAWAIDA KULINGANA NA MBWEMBWE TULIZONAZO WATU WA DAR NA MAKONDA WETU....
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom