AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Nimeandika issue na maoni kama haya kwenye thread ile ya kampuni ya malaysia. nadhani tatizo tulinolao serikali inaweza kufanya mambo mazuri tu lakini yasiyo na tija kama hawaangalii mambo kwa upana wake
Binafsi sioni mantiki ya kuwa na daftari/ kitambulisho cha mpiga kura inachotumika seasonal every five years. alafu tena uje uwe na kitambulisho ya taifa. Kwa nini wasiboreshe hiki kitambulisho cha mpiga kura kuwe ndo kitambulish cha taifa.
Kwa nini tuwe na maserver ma database mengi yenye taarifa zile zile ten chini ya serikali moja?
Ukichukua the thread yenyewe uchanganye na the above maelezo - yamejitosheleza kabisa.