Vitalis Maembe aachiwa kwa dhamana

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,879
Msanii Vitalis Maembe aliyekamatwa na Polisi Novemba 2 kwa tuhuma za kuimba nyimbo zenye kuwakashifu viongozi amechiwa kwa dhamana

Maembe alitakiwa kuripoti kituo cha polisi Dunda mjini Bagamoyo ambapo baadae alihamishiwa Kibaha ambako ndiko alikoachiwa leo

IMG_20211103_192116_726.jpg
 
Back
Top Bottom