Vitabu vya willy Gamba

Vitabu vya willy Gamba

chayowa

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
413
Reaction score
112
Hi wakuu. Ebwana nahitaji vitabu vya hadithi za willy Gamba na vingine vya dizaini ile. Nitavipata wapi?
 
Mtunzi wa riwaya za Willy Gamba ni marehemu Elvis Musiba,Mtoto wake alikuwa mtangazi channel ten,fuatilia pale upate mawasiliano naye,hapo utapata pa kuanzia...
 
Hata mm pia nahitaji pamoja na vya joram kiango.
 
Hivi vitabu naskia havipatikani tena mtaani...vilizuiliwa na mchonga
 
Kikomo,Kufa Na Kupona,Njama,Hofu(hiki kilitumika kufundishia A-Level) ni baadhi ya vitabu vya W-Gamba.Vingine vikali ni Kamlete Akibisha Mlipue,Mauaji Ya Lodging,Tutarudi Na Roho Zetu,Kisiwa Cha Giningi nk.
 
Kikomo,Kufa Na Kupona,Njama,Hofu(hiki kilitumika kufundishia A-Level) ni baadhi ya vitabu vya W-Gamba.Vingine vikali ni Kamlete Akibisha Mlipue,Mauaji Ya Lodging,Tutarudi Na Roho Zetu,Kisiwa Cha Giningi nk.

Navipata wapi mkuu
 
Kikomo,Kufa Na Kupona,Njama,Hofu(hiki kilitumika kufundishia A-Level) ni baadhi ya vitabu vya W-Gamba.Vingine vikali ni Kamlete Akibisha Mlipue,Mauaji Ya Lodging,Tutarudi Na Roho Zetu,Kisiwa Cha Giningi nk.

Vinapatikana wapi mkuu.
 
Kisima Cha giningi ninacho .Mambo ya upelelezi
 
Mtunzi wa riwaya za Willy Gamba ni marehemu Elvis Musiba,Mtoto wake alikuwa mtangazi channel ten,fuatilia pale upate mawasiliano naye,hapo utapata pa kuanzia...
Musiba wa channel ten ndio huyu mchaluko anayegombana na wanasiasa kila kukicha, sidhani kama ndiye mwanaye.
 
Tafuta kwa wauza vitabu. Pia kwenye maktaba waweza vipata. Mimi nilisoma kikomo,kikosi cha kisasi,kufa na kupona nikiwa darasa la tatu. Nakumbuka nilikuwa naimagine Will Gamba,Amanda hasa kile cha kikomo na wizi wa Almasi.
 
Fika k/koo mtaa wa msimbazi Kuna wauzaji wa vitabu kwenye meza
20200107_083739.jpeg


mwanabhonga
 
Hamna mwenye softcopy ya hivyo vitabu atuwekee hapa jamani!
 
Back
Top Bottom