Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 480
- 968
Samaleko.
Natumaini ni wazima wa afya kabisa, ukiachilia mbali vitabu vya mashuleni kuanzia la kwanza hadi chuo kikuu, katika maisha yangu sijawahi kusomaga somaga vitabu vya riwaya aidha za kiuchumi, kisiasa wala ata za kimapenzi za gwiji km shabani Robert. Hivyo nimeona walau nianze kadesturi ka kusoma soma vitabu angalau nipate mbili tatu hivi.
Unanishauri nisome vitabu gani ambavyo unaamin vitanipa maarifa na vinaweza badilisha mfumo wangu wa maisha ila hivyo vitabu viwe katika lugha ya KISWAHILI. Natamani kusoma vitabu hivyo vilivyoandikwa mambo ya uchumi, Siasa na Mapenzi.
NYONGEZA: kama unaweza kuwa na softcopy ya kitabu hicho pia unaweza niwekea hapa.
Wasalam.
Natumaini ni wazima wa afya kabisa, ukiachilia mbali vitabu vya mashuleni kuanzia la kwanza hadi chuo kikuu, katika maisha yangu sijawahi kusomaga somaga vitabu vya riwaya aidha za kiuchumi, kisiasa wala ata za kimapenzi za gwiji km shabani Robert. Hivyo nimeona walau nianze kadesturi ka kusoma soma vitabu angalau nipate mbili tatu hivi.
Unanishauri nisome vitabu gani ambavyo unaamin vitanipa maarifa na vinaweza badilisha mfumo wangu wa maisha ila hivyo vitabu viwe katika lugha ya KISWAHILI. Natamani kusoma vitabu hivyo vilivyoandikwa mambo ya uchumi, Siasa na Mapenzi.
NYONGEZA: kama unaweza kuwa na softcopy ya kitabu hicho pia unaweza niwekea hapa.
Wasalam.