Vita ya Ukraine na kisasi cha USA kwa Urusi

Vikao vya Harusi

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
512
140
Nimetafakari sana juu ya misada inayotolewa kila uchao na Marekani kwenda Ukraine, na jambo Moja limenijia kichwani, VITA YA SYRIA, tunakumbuka wakati utawala wa Assad ulivyokaribia kuporomoka Baada ya kupata mashambulizi mazito Toka Kwa ISIS(ISLAMIC STATE OF IRAQ AND SYRIA), kundi la kigaidi ambalo wataaalamu wa mambo wanadai walikuwa ni mamluki waliotengenezwa na Mossad pamoja na CIA Ili kudhoofisha mataifa ya mashariki ya kati hasa yaliyokuwa na mlengo wa kulia, Urusi iliingilia kati na kuweza kumsaidia Assad Kwa silaha Kali za kivita kama zile zinazotolewa na USA kwenda Ukraine.

Ubia huo wa Urusi na Iran dhidi ya mamluki wa Marekani ndani ya ardhi ya Syria uliweza kumalizia kabisa vita baina ya serikali ya bwana Assad na ISIS. Kilichonijia akilini Sasa Hivi ni kama Marekani anataka kulipiza Yale yaliyoshindikana Syria Kwa mgongo wa Ukraine.

Swali kubwa ni je ATAWEZA? na vipi kuhusu uwezekano wa matumizi ya nuclear dhidi ya Ukraine Toka upande wa Urusi hasa pale Marekani atavyopeleka wanajeshi huko Kyiv? Vipi kuhusu marafiki wa Urusi ambao wameshaanza kufanya military drills kila kukicha?

Vipi kuhusu Marekani kupunguza maadui Baada ya kutaka kufufua mkataba wa Iran uliokuwa unakaribia kufa? Vipi kuhusu Marekani kutafuta uungwaji mkono na brazili hasa katikat zama hizi!

Vipi kuhusu North Korea kupiga zoezi la ICBM zinazoweza kufika New York in no time. Nadhani ni muda wa Urusi kuondelewa vikwazo, Donbass Liwe taifa huru, Iran afuate masharti ya mktaba na Taiwan iache kujishikilia Marekani. Wabillah Tawfeq
 
Pengine hujaweza kuwatambua CIA vizuri, ni watu wenye upeo wa hali ya juu.

1. Walitengeneza mazingira ambayo walijua Russia ataingilia kati.

2. Russia akiingilia kati, watatifua zaidi ishu ya Ukraine kuingia NATO.

3. Russia hatokubali, ataingia kijeshi Ukraine.

4. Akiingia kijeshi, dawa ni kumsaidia Ukraine, Ukraine amtie hasara kijeshi Putin na kiuchumi. Huu ndo wakati wa kupima uzito wa zana za Russia.

5. Mpaka sasa wameshajua uwezo wa defence system za Russia, wameshambulia meli ilokuwa na S300 pamoja na vituo vya mafuta.

6. Wameshajua zana zao za kulinda anga zipoje na misafara ya ground force. Mpaka leo ni kweli hamna vifaru wala ndege ndani ya Ukraine. Kupitia vita hii, ni rahisi mno kusoma uwezo wa kijeshi wa Russia upoje, na mpaka sasa wameshajua uwezo wake.

7. HAKUNA AJUAYE NIA YA CIA NI IPI KTK VITA HII, KILE WALICHOPANGA NDICHO KITAFANYIKA.
 
Pengine hujaweza kuwatambua CIA vizuri, ni watu wenye upeo wa hali ya juu.

1. Walitengeneza mazingira ambayo walijua Russia ataingilia kati.

2. Russia akiingilia kati, watatifua zaidi ishu ya Ukraine kuingia NATO.

3. Russia hatokubali, ataingia kijeshi Ukraine.

4. Akiingia kijeshi, dawa ni kumsaidia Ukraine, Ukraine amtie hasara kijeshi Putin na kiuchumi. Huu ndo wakati wa kupima uzito wa zana za Russia.

5. Mpaka sasa wameshajua uwezo wa defence system za Russia, wameshambulia meli ilokuwa na S300 pamoja na vituo vya mafuta.

6. Wameshajua zana zao za kulinda anga zipoje na misafara ya ground force. Mpaka leo ni kweli hamna vifaru wala ndege ndani ya Ukraine. Kupitia vita hii, ni rahisi mno kusoma uwezo wa kijeshi wa Russia upoje, na mpaka sasa wameshajua uwezo wake.

7. HAKUNA AJUAYE NIA YA CIA NI IPI KTK VITA HII, KILE WALICHOPANGA NDICHO KITAFANYIKA.
Sawa CIA wa kwamtogole
 
Pengine hujaweza kuwatambua CIA vizuri, ni watu wenye upeo wa hali ya juu.

1. Walitengeneza mazingira ambayo walijua Russia ataingilia kati.

2. Russia akiingilia kati, watatifua zaidi ishu ya Ukraine kuingia NATO.

3. Russia hatokubali, ataingia kijeshi Ukraine.

4. Akiingia kijeshi, dawa ni kumsaidia Ukraine, Ukraine amtie hasara kijeshi Putin na kiuchumi. Huu ndo wakati wa kupima uzito wa zana za Russia.

5. Mpaka sasa wameshajua uwezo wa defence system za Russia, wameshambulia meli ilokuwa na S300 pamoja na vituo vya mafuta.

6. Wameshajua zana zao za kulinda anga zipoje na misafara ya ground force. Mpaka leo ni kweli hamna vifaru wala ndege ndani ya Ukraine. Kupitia vita hii, ni rahisi mno kusoma uwezo wa kijeshi wa Russia upoje, na mpaka sasa wameshajua uwezo wake.

7. HAKUNA AJUAYE NIA YA CIA NI IPI KTK VITA HII, KILE WALICHOPANGA NDICHO KITAFANYIKA.
Kama wanaupeo wa hali ya juu CIA mbona walizima kipisi Syria Toka kwa Urusi?
Syria wameshindwa huko Ukraine wataweza?
 
Pengine hujaweza kuwatambua CIA vizuri, ni watu wenye upeo wa hali ya juu.

1. Walitengeneza mazingira ambayo walijua Russia ataingilia kati.

2. Russia akiingilia kati, watatifua zaidi ishu ya Ukraine kuingia NATO.

3. Russia hatokubali, ataingia kijeshi Ukraine.

4. Akiingia kijeshi, dawa ni kumsaidia Ukraine, Ukraine amtie hasara kijeshi Putin na kiuchumi. Huu ndo wakati wa kupima uzito wa zana za Russia.

5. Mpaka sasa wameshajua uwezo wa defence system za Russia, wameshambulia meli ilokuwa na S300 pamoja na vituo vya mafuta.

6. Wameshajua zana zao za kulinda anga zipoje na misafara ya ground force. Mpaka leo ni kweli hamna vifaru wala ndege ndani ya Ukraine. Kupitia vita hii, ni rahisi mno kusoma uwezo wa kijeshi wa Russia upoje, na mpaka sasa wameshajua uwezo wake.

7. HAKUNA AJUAYE NIA YA CIA NI IPI KTK VITA HII, KILE WALICHOPANGA NDICHO KITAFANYIKA.
... umedadavua kwa upeo wa hali ya juu sana; professorial level! Sidhani kama marusi ya Buza yataelewa lolote!
 
North Korea wamempuuza maana wanajua uwezo wake.
Sio wame mpuuza wana muogopa.

Nchi ikisha kuwa na silaza za nyukilia tiyari hiyo ni nchi nyingine kabisa huwezi kuiletea mazoea ya kisenge.

Hivi unadhani Ukraine ingekuwa na silaha za nyukilia Urusi ingethubu kufanya hichi anacho kifanya sasa hivi? Angeishia kubweka tu lakini asinge thubutu kuivamia.
 
... kichaa kuna namna ya kumfanyia timing! Omba uzima, stay tuned!
Hakuna cha taming wala nn.
Nchi ikisha kuwa na silaha za nyukilia huwezi kuiletea mazoea ya kisenge

Unadhani hata Ukraine ingekuwa na silaha za nyukilia Urusi ingethubu kufanya hichi anacho kifanya sasa hivi? ana jeuri ya kufanya anacho kifanya kwa sababu anajuwa Ukraine hana uwezo wa kuwadhuru raia wake.
 
Nimetafakari sana juu ya misada inayotolewa kila uchao na Marekani kwenda Ukraine, na jambo Moja limenijia kichwani, VITA YA SYRIA, tunakumbuka wakati utawala wa Assad ulivyokaribia kuporomoka Baada ya kupata mashambulizi mazito Toka Kwa ISIS(ISLAMIC STATE OF IRAQ AND SYRIA), kundi la kigaidi ambalo wataaalamu wa mambo wanadai walikuwa ni mamluki waliotengenezwa na Mossad pamoja na CIA Ili kudhoofisha mataifa ya mashariki ya kati hasa yaliyokuwa na mlengo wa kulia, Urusi iliingilia kati na kuweza kumsaidia Assad Kwa silaha Kali za kivita kama zile zinazotolewa na USA kwenda Ukraine.

Ubia huo wa Urusi na Iran dhidi ya mamluki wa Marekani ndani ya ardhi ya Syria uliweza kumalizia kabisa vita baina ya serikali ya bwana Assad na ISIS. Kilichonijia akilini Sasa Hivi ni kama Marekani anataka kulipiza Yale yaliyoshindikana Syria Kwa mgongo wa Ukraine.

Swali kubwa ni je ATAWEZA? na vipi kuhusu uwezekano wa matumizi ya nuclear dhidi ya Ukraine Toka upande wa Urusi hasa pale Marekani atavyopeleka wanajeshi huko Kyiv? Vipi kuhusu marafiki wa Urusi ambao wameshaanza kufanya military drills kila kukicha?

Vipi kuhusu Marekani kupunguza maadui Baada ya kutaka kufufua mkataba wa Iran uliokuwa unakaribia kufa? Vipi kuhusu Marekani kutafuta uungwaji mkono na brazili hasa katikat zama hizi!

Vipi kuhusu North Korea kupiga zoezi la ICBM zinazoweza kufika New York in no time. Nadhani ni muda wa Urusi kuondelewa vikwazo, Donbass Liwe taifa huru, Iran afuate masharti ya mktaba na Taiwan iache kujishikilia Marekani. Wabillah Tawfeq
Nini umekula
Kubeli au milungi?
 
Back
Top Bottom