Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,632
- 46,106
Sababu ni nyingi na moja ya muendelezo ni huu hapa ushahidiumewahi jiuliza kwanini africa ni maskini ?
Tuna Mbuga kibao nchini lakini wakatafuta mbinu za kuiba na wakafanikiwa
Mkuu kuna watu huwa wanasoma heading na kujibu kwa mihemko kama iwe siasa, mpira na hata masuala ya uchumi wa nchi na mambo mazito kama hayaNimeshangaa wengi humu wanajibu mada kwa mihemko na chuki za kiitikadi wala hawajachukua muda kumsikiliza Nyerere kwenye hiyo voice note!
Sintashangaa kama utashambuliwa bila hoja
Nimemsikiliza Mwalimu na ameongea maneno mazito mno
Kuwa kuna maraisi waliwekwa na wazungu kwa maslahi yao na kuwatahadharisha watanzania