Vita ya Serikali na nzige yapamba moto huko Siha Kilimanjaro, Serikali inaweza kushindwa

2019

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
2,982
4,458

Hiyo ni wilaya ya Siha Kilimanjaro bado wanachanja mbuga wametokea Arusha hao. Tutapona njaa kweli?
 
Halafu huko kuna majani ya kutosha jinsi kwenye clips inavyoonesha...!!

Hatua za haraka zinahitajika kutokomeza Nzige
 
Hao nzige sio kazi ndogo kuwamudu selikal imekodi mpaka ndege sasa mtu kama unawazo bora ukashaur manake mwisho wa siku hasara ni Kwetu kama taifa na sio kwa watu wa siha tu

Vijana tubadilike tujitambue
Ni kweli kabisa sababu fikiria walitoka Ethiopia,ina mana wanatembea kesho kutwa unaweza kusikia wako Tanga
 
Gharama za msafara wa Rais kwa mkoa mmoja tu zinatosha kukodi ndege kwa siku saba kunyunyiza dawa na kuwamaliza nzige..Magari zaidi ya 50 yanayokunywa mafuta mengi ulkiachia posho za wapambe na walinzi
 
Hao nzige sio kazi ndogo kuwamudu selikal imekodi mpaka ndege sasa mtu kama unawazo bora ukashaur manake mwisho wa siku hasara ni Kwetu kama taifa na sio kwa watu wa siha tu

Vijana tubadilike tujitambue

Inashangaza sana kuona watu wazima wanachekelea matatizo ya watanzania wenzao na haya ni matatizo yetu sote wala nzige hawahusiani na ccm, yaani watu wanafurahia hata nzige kuvamia nchi utadhani ccm peke yao ndo wataathirika?

Kazi kweli kweli
 
Hao nzige sio kazi ndogo kuwamudu selikal imekodi mpaka ndege sasa mtu kama unawazo bora ukashaur manake mwisho wa siku hasara ni Kwetu kama taifa na sio kwa watu wa siha tu

Vijana tubadilike tujitambue
Nashauri vitu viwili

1. Nzige wana kiwango kikubwa sana cha protein kufikia 18% C.P
Hivyo viwanda vya kutengeneza vyakula vya mifugo vitumie hiyo fursa kuwaajiri vijana wawaletee madebe na madebe ya nzige ili wazalisha wa vyakula vya mifugo wapate maligahafi mbadala wa dagaa au soya

2. Wakusanye kuku wa kienyeji takribn 500 bata 600 wawamwage hilo eneo ni ndan ya siku mbili peupe pee
 
Nashauri vitu viwili

1. Nzige wana kiwango kikubwa sana cha protein kufikia 18% C.P
Hivyo viwanda vya kutengeneza vyakula vya mifugo vitumie hiyo fursa kuwaajiri vijana wawaletee madebe na madebe ya nzige ili wazalisha wa vyakula vya mifugo wapate maligahafi mbadala wa dagaa au soya

2. Wakusanye kuku wa kienyeji takribn 500 bata 600 wawamwage hilo eneo ni ndan ya siku mbili peupe pee
Mzee hii plani yako namba 2 ni bora zaidi japo imekaa kiutani utani.
 
Nashauri vitu viwili

1. Nzige wana kiwango kikubwa sana cha protein kufikia 18% C.P
Hivyo viwanda vya kutengeneza vyakula vya mifugo vitumie hiyo fursa kuwaajiri vijana wawaletee madebe na madebe ya nzige ili wazalisha wa vyakula vya mifugo wapate maligahafi mbadala wa dagaa au soya

2. Wakusanye kuku wa kienyeji takribn 500 bata 600 wawamwage hilo eneo ni ndan ya siku mbili peupe pee
Hii ilifanyika China,na walifanikiwa
 
Back
Top Bottom