Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,813
- 8,662
Kuna kaugonjwa bongo sikaelewi week ya pili hii naenda hospital naambiwa sina tatizo
Ukishakatwa zikaenda hazina huna mamlaka nazoHiyo nadharia haina mashiko mkuu
. Ishu hapa ni kuwa kwanin tuliambiwa tunajenga madarasa kwa tozo zetu. Lakin inashamgaza kuona madarasa yanajengwa kwa hisani ya mikopo ya COVID-19...? Je pesa za tozo zinaenda wapi .us
Rais achague mahali atapofanyia shughuli zake.