Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,622
- 154,972
Hatupambani na wagogo, wagogo wapambane na hali yao
Binadamu tumeumbwa kuwa na kinyongo kwa wale ambao tunahisi hawatufanyii mazuri
Saikolojia ya Spika Ndugai imeathirika baada ya SSH kufanyia shughuli nyingi za kitaifa Dar es salaam kuliko Dodoma tofauti na mtangulizi wake
Ndugai ametumia kigezo cha mikopo kumshambulia lakini mikopo hii ilikuwepo tangu mwendazake akiwepo na hakusema,kwa nini hakusema? Ni kwa sababu mwendazake ametimiza ndoto za Dodoma kuwa makao makuu ya nchi baada ya serikali kuhamia Dodoma
Mama ameingia madarakani shughuli zikarudi Dar es salaam kitu ambacho kinamuumiza Ndugai kisaikolojia na amewahi kuhoji "Kwa nini viongozi wa serikali hawakai Dodoma?
Mama SSH kinachokuumiza siyo mikopo ni kwa nini shughuli zote za serikali hazifanyikii Dodoma kama alivyokuwa anafanya mwendazake?
Wadau hii nadharia unaiunga mkono au la!
Mama akafanyie kazi zake Kibandamaiti kabisa ili Ndugai afure zaidiSaikolojia ya Spika Ndugai imeathirika baada ya SSH kufanyia shughuli nyingi za kitaifa Dar es salaam kuliko Dodoma tofauti na mtangulizi wake - wala sidhani kama ni ukweli Mh. Magufuli alitumia muda mwingi Dodoma, kuna vikao vingi sana vilifanyika Dar, wageni wengi tu walipokelewa Chato, na muda mwingi tu raisi alikuwa Chato bila maelezo yoyote. Leo kwa nini Mama akiamua kufanyia kazi Dar ambapo ndiyo ikulu iliyokamilika kwa upande wa miundombinu iwe nongwa?
hata mchambawimaMama akafanyie kazi zake Kibandamaiti kabisa ili Ndugai afure zaidi
Hajasema hivyo, usimlishe maneno.Mama hapangiwi yeye ni Jiwe...
Ameshachagua tayari. Ni dar! We huoni?Hili jambo ni gharama kwa Taifa.
Rais achague mahali atapofanyia shughuli zake.
Kila mara kuchoma mafuta kwa gharama ya nani??
Si sisi wananchi??
Ni kweli Dar ni jiji kubwa lenye hadhi ya kuwa makao makuu ya nchi, lakini kijiografia limekaa pembezoni mno mwa nchi. Imagine kutoka kagera hadi Dar, Dodoma ni Center ya mikoa mingi.Mji wa Dodoma una changamoto nyingi sana.Mimi binafsi sishauri Dodoma iwe mbadala wa Dar .Issue ya kuipendelea Dodoma imekaa kisiasa zaidi kuliko kiuhalisia.Dodoma tuwaachie wanasiasa na maamuzi yao ya kiduanzi.Mjanja yeyote lazima aipe kipaumbele Dar.
Ndugai ametumia kigezo cha mikopo kumshambulia lakini mikopo hii ilikuwepo tangu mwendazake akiwepo na hakusema,kwa nini hakusema? Ni kwa sababu mwendazake ametimiza ndoto za Dodoma kuwa makao makuu ya nchi baada ya serikali kuhamia DodomaBinadamu tumeumbwa kuwa na kinyongo kwa wale ambao tunahisi hawatufanyii mazuri
Saikolojia ya Spika Ndugai imeathirika baada ya SSH kufanyia shughuli nyingi za kitaifa Dar es salaam kuliko Dodoma tofauti na mtangulizi wake
Ndugai ametumia kigezo cha mikopo kumshambulia lakini mikopo hii ilikuwepo tangu mwendazake akiwepo na hakusema,kwa nini hakusema? Ni kwa sababu mwendazake ametimiza ndoto za Dodoma kuwa makao makuu ya nchi baada ya serikali kuhamia Dodoma
Mama ameingia madarakani shughuli zikarudi Dar es salaam kitu ambacho kinamuumiza Ndugai kisaikolojia na amewahi kuhoji "Kwa nini viongozi wa serikali hawakai Dodoma?
Mama SSH kinachokuumiza siyo mikopo ni kwa nini shughuli zote za serikali hazifanyikii Dodoma kama alivyokuwa anafanya mwendazake?
Wadau hii nadharia unaiunga mkono au la!
Yuko aliyepeleka shughuli nyingi kule kwake Chato na hata kuapisha wateuliwa ikawa kwake.Hili jambo ni gharama kwa Taifa.
Rais achague mahali atapofanyia shughuli zake.
Kila mara kuchoma mafuta kwa gharama ya nani??
Si sisi wananchi??
Hili jambo ni gharama kwa Taifa.
Rais achague mahali atapofanyia shughuli zake.
Kila mara kuchoma mafuta kwa gharama ya nani??
Si sisi wananchi??
Nyie wasukuma embu mkae kwa kutuliaHili jambo ni gharama kwa Taifa.
Rais achague mahali atapofanyia shughuli zake.
Kila mara kuchoma mafuta kwa gharama ya nani??
Si sisi wananchi??
Mwigulu aliapishiwa chato uwaziri wake, leo sukuma wanajidai wamesahauShughuli zilipokua Chato hamkujali nyie mapimbi.
Hata Dole akiamua anawezahata mchambawima
Sio kweli,ndugai ni sehemu ya majaliwa,pokepole,bashiru ambao hawakutaka achukue nchi but wamepoteaBinadamu tumeumbwa kuwa na kinyongo kwa wale ambao tunahisi hawatufanyii mazuri
Saikolojia ya Spika Ndugai imeathirika baada ya SSH kufanyia shughuli nyingi za kitaifa Dar es salaam kuliko Dodoma tofauti na mtangulizi wake
Ndugai ametumia kigezo cha mikopo kumshambulia lakini mikopo hii ilikuwepo tangu mwendazake akiwepo na hakusema,kwa nini hakusema? Ni kwa sababu mwendazake ametimiza ndoto za Dodoma kuwa makao makuu ya nchi baada ya serikali kuhamia Dodoma
Mama ameingia madarakani shughuli zikarudi Dar es salaam kitu ambacho kinamuumiza Ndugai kisaikolojia na amewahi kuhoji "Kwa nini viongozi wa serikali hawakai Dodoma?
Mama SSH kinachokuumiza siyo mikopo ni kwa nini shughuli zote za serikali hazifanyikii Dodoma kama alivyokuwa anafanya mwendazake?
Wadau hii nadharia unaiunga mkono au la!