Binadamu tumeumbwa kuwa na kinyongo kwa wale ambao tunahisi hawatufanyii mazuri
Saikolojia ya Spika Ndugai imeathirika baada ya SSH kufanyia shughuli nyingi za kitaifa Dar es salaam kuliko Dodoma tofauti na mtangulizi wake
Ndugai ametumia kigezo cha mikopo kumshambulia lakini mikopo hii ilikuwepo tangu mwendazake akiwepo na hakusema,kwa nini hakusema? Ni kwa sababu mwendazake ametimiza ndoto za Dodoma kuwa makao makuu ya nchi baada ya serikali kuhamia Dodoma
Mama ameingia madarakani shughuli zikarudi Dar es salaam kitu ambacho kinamuumiza Ndugai kisaikolojia na amewahi kuhoji "Kwa nini viongozi wa serikali hawakai Dodoma?
Mama SSH kinachokuumiza siyo mikopo ni kwa nini shughuli zote za serikali hazifanyikii Dodoma kama alivyokuwa anafanya mwendazake?
Wadau hii nadharia unaiunga mkono au la!
Saikolojia ya Spika Ndugai imeathirika baada ya SSH kufanyia shughuli nyingi za kitaifa Dar es salaam kuliko Dodoma tofauti na mtangulizi wake
Ndugai ametumia kigezo cha mikopo kumshambulia lakini mikopo hii ilikuwepo tangu mwendazake akiwepo na hakusema,kwa nini hakusema? Ni kwa sababu mwendazake ametimiza ndoto za Dodoma kuwa makao makuu ya nchi baada ya serikali kuhamia Dodoma
Mama ameingia madarakani shughuli zikarudi Dar es salaam kitu ambacho kinamuumiza Ndugai kisaikolojia na amewahi kuhoji "Kwa nini viongozi wa serikali hawakai Dodoma?
Mama SSH kinachokuumiza siyo mikopo ni kwa nini shughuli zote za serikali hazifanyikii Dodoma kama alivyokuwa anafanya mwendazake?
Wadau hii nadharia unaiunga mkono au la!