Wanajiona watusi badala ya wakongo, wanajiona wanyarwanda badala ya wanyarwanda.Wahutu kutoka Rwanda ndio wanaitwa WAZALENDO wa Kongo halafu Watutsi wa Kongo wanaitwa Wanyarwanda huoni kama kuna TATIZO KUBWA hapo?
Watutsi wapiganie HAKI zao wasizubae Maadui ni WENGI.
Nakataa dhana kuwa wanabaguliwa kwasababu ni watusi, wajibaguwa wenyewe kwakujiona wanastahili zaidi kuliko wengine?.....